Mamaa mwenyewe mwenye mji Miriam Lukindo Mauki
MC wa shuhuli my brother, my friend and my student at UDSM Paul Masele
The youngest couple of the day, miezi miwili tu ya ndoa, all the way from Morogoro
Miriam na Dada Hope
Joanita, a.k.a "Jo" Mrengo, Mmiliki wa RM Collections mmoja ya partners wetu. Ukitaka masuti na nguo nyingine tofauti toka uingereza, hawa wanahusika
Hawa nao ni kutoka RM Collecetions
Hata kama mtoto ana miezi 4bado hakuweza kuwa sababu ya wawili hawa kuto celebrate valentine, pongezi kwao
Was happy kumwona mfanyakazi mwenzangu wa UDSM na mkewe, wale wanaosoma au waliosoma sheria UDSM mnaijua sura hii
Hapa wala sina cha kuelezea
Friends and partners in the business. Hawa ndio wabeba maono ya Valentine lovers dinner n talk. Mimi na Abdul Kimanga wa Respect DJ's na Sherehe yetu.com
Niliwahi kuwa MC kwenye harusi ya marafiki zetu hawa, na hata leo tabasamu iko pale pale, hongereni sanaaa
Chris, Miriam na Joanita
Papaa Rogers na Joyce Ibengwe nao waling'ara
Martin Chanila na mtarajiwa pia walikuwepo
The oldest couple of the day, 28 years kwenye ndoa na bado malovee mule mule
Thomas Mongela na mkewe nao hawakukosekana
Kulia ni Silvanus Mauki, mdogo wangu wa mwisho, na Best Mauki, vichwa hivi ndiyo kwenye technical department ya events zetu
Haris Kapiga naye kama kawa
Paul na mentor wake Haris Hapiga. Kipaji cha ku mentor unacho kaka
Kesho nitakuletea full mapicha ya event nzima ilivyokuwa ndani na katika kila hatua



















































0 comments:
Post a Comment