PICHA: SIKU CHRIS NA MIRIAM WALIPOSIMAMIA HARUSI YA JAMES TEMU NA MKEWE SIAH 27.9.2014


 Bwana harusi James Temu a.k.a Uncle Jimmy wa Chomoza ya Couds TV akiwa na mkewe Siah ndani ya Lulu hall

 As usual Chris na Miriam Mauki, Best man and Matron

 Tukiwa Seduta Hotel Salasala, baada ya kutoka kanisani, Kushoto kabisa ni Fredrick Lyatuu General Manager wa Seduta hotel


 Joyous smile

 She is the fan of styles






 Baada ya wedding tuliwapa company maharusi kwa kuwa nao hotelini, (tunakagua kazi.... hahahhaaa) hapa ni asubuhi ya Jumapili

Mchemsho wa kuku wa kienyeji ulihusika sana asubuhi ile


Kwa niaba ya Maharusi James na Siah, na kwaniaba ya mke wangu mpenzi Miriam, nichukue fursa hii kushukuru uongozi mzima wa Seduta Hotel kwa kutufanya tujisikie nyumbani kabisaaa, najua bado maharusi wetu mnaendelea kuwatunza vema hapo hotelini. Fredrick Lyatuu, thanks so much kaka. Jiandae kutupokea sasa kwenye Couples's Sleep over 2014 "Closer than before tarehe 17, 18, na 19 October, hapo hapatatoshaaa. Big up sana brother. Haika sana mmeku
Share on Google Plus

About Baraka Kiranga

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment