PICHA ZA SEMINA YA FURSA 2014 MOROGORO. JITATHMINI, JIAMINI JIONGEZE

 Ndani ya ukumbi wa Midland Hotel Msamvu, nyomi imetulia kusikiliza nondo za fursa




 Mkurugenzi wa Clouds media group Ruge Mutahaba akitoa maelezo machache kabla ya kuwakaribisha watoa mada

 Nikiwa kikazi zaidi, nikidadavua somo lenye kichwa "Tabia za kisaikolojia za mtu anayesaka fursa"

 Siku ya pili ya fursa, ni siku ya kukutana na watu katika vikundi ili kusaidiwa mbinu za kuboresha biashara na miradi yao, kwa mbali hap yuko Niki wa pili kutoka kundi la Weusi akiwasaidia watu wa Morogoro



Chris Mauki, Mrisho Mpoto a.k.a Mjomba, na Niki wa Pili kutoka kundi la Weusi, hapa ni Nashera hotel tukipata kifungua kinywa kabla ya kuelekea Midland Hotel kwa ajili ya Fursa
Share on Google Plus

About Baraka Kiranga

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment