MARRIAGE REVIVAL SEMINAR - MIKOCHENI "B" ASSEMBLIES OF GOD TAR. 6. MARCH. 2015 IJUMAA






Nimepata tena heshima kubwa ya kuwa mzungumzaji katika Marriage Revival Seminer ndani ya Mikocheni "B" Assemblies of God Mlima wa Moto siku ya Ijumaa tar 6 March 2015 kuanzia saa 12:30 jioni. Nitasimama pamoja na mchungaji kiongozi Dr. Getrude Rwakatare (MB) katika siku hiyo kuhakikisha tunasema na wanandoa. Ukitaka kushiriki pata tiketi yako pale Victoria petral station, Mikocheni B assemblies, Praise power radio na Mlima wa moto Boko kwa shilingi 30000/- kwa couple na shilingi 15000/- kwa mtu mmoja. Karibu sana
Share on Google Plus

About Baraka Kiranga

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment