PICHA: SHEREHE ZA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA KWA WAFANYAKAZI WA UDSM - MLIMANI CITY CONFERENCE CENTRE

 Watu wakiingia ukumbini Mlimani city


 Aliyewahi kuwa VC, UDSM Prof. Luhanga akiwa na DVC - Administration wa sasa Prof. Mfinanga


 Nikiongoza shuhuli kama MC

 Mpiga picha wa chuo akiwa ametulia ukumbini

 DVC - Utawala Prof. Mfinanga akitoa neno la ufunguzi

 Meza kuu. VC Prof. Mukandala na Mh. Asha Rose Migiro

 Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi THTU akitoa salamu zake
 

 Dr. Nandera Mhando, Jack Mgumia na Dr. Chris Mauki wakiteta jambo


 VC Prof. Mukandala akitoa baraka zake katika sherehe ya kuukaribisha mwaka mpya ya wafanyakazi wa CKD



 Bendi ya Mapacha watatu ilitia fora

 Prof. Mfinanga na Prof. Kimambo

 Dr. Nandera akijiandaa kufungua shempeni


 Mkuu wangu wa idara Dr. Kafanabo (wapili kutoka kushoto) akiwa na Dr. Amina Kamando (wa kwanza kushoto) na wengine


 Toasting ilibamba sana




 Dean wa Shule Kuu ya Elimu Dr. Dachi akigonga glass na wafanyakazi wenzake





 Jose Mara na Khalid Chokoraa kutoka Mapacha watatu walitia fora kwenye uimbaji




 Mh. Asha Rose Migiro, ambaye amewahi kuwa mfanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

 Prof. Muzale alifungua pazia la "jokes"



 Baadhi ya wafanyakazi kutoka SOED walikaa meza moja, Dr. Dachi na Dr. Amina, pembeni ni Dr. Kafanabo ameonekana bega tu

 Dr. Bana akisikiliza jambo kwa makini

 Hapa watu wakishiriki kutoa maelezo ya mchezo alioutoa Prof. Muzale

 MC Ndimbo, ambaye ni mfanyakazi wa DUCE naye alikuwepo

 Dr. Ishengoma akifuatilia kila linalojiri


 Ukumbi umeshiba, ni muziki kwenda mbele





 Kitambaa cheupe iliamsha kila mtu

 MC's in the house Dr. Chris Mauki na Mc Ndimbo

 Jose Mara akiimba

 Nikisimamia show nzima




 Bendi ya Mapacha wa tatu

 Chris Mauki na Jose Mara wakiteta jambo



 Dakota (kushoto) Meneja wa Mapacha watatu akifuatilia vijana wake wakishusha mambo


 Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Prof. Mchome na Mh. Asha Rose Migiro wakielekea kwenye meza ya chakula




 Kwaito ilileta mvuto mkubwa sanaaaa




 Huyu kaka yangu wa Auxiliary Police alicheza sanaaaaa, labda kuliko yeyote yule. Alitufurahisha mnooo. Kweli tunahitaji hizi nyakati mara kwa mara

 Mduara nao ulihusika

 Dr. Wadrine Maro  kutoka SOED
 
 Dr. Chris Mauki, Dr. Maro, Dr. Dachi na Dr. Amina Kamando

 VC, Prof. Mukandala, Mh. Dr. Fenella Mukangara (katikati) na Mh. Dr. Asha Rose Migiro wakifuatilia kwa makini yanayojiri

 MC Ndimbo akienda sawa





 MC Ndimbo na DJ P wa Respect DJ's. MC Ndimbo ni mmoja wa team kubwa la MC's ndani ya Respect DJ's 

 Meza kuu katika picha







 DVC - Academic Prof. Luoga akitoa neno la kufunga






Share on Google Plus

About Baraka Kiranga

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment