FAHAMU MAMBO YATAKAYO KUSAIDIA KUONGEZA UKARIBU NA MVUTO WA KIHISIA BAINA YAKO NA MPENZI WAKO




1.     Peaneni uhuru wa kuwafanya muwe halisi na kuruhusu vipaji na vipawa vyenu kutenda kazi.
2.     Mahusiano yenu yawe kwenye msingi wa penzi na sio kutawalana au kumilikiana.
3.     Penzi na heshima vitawale zaidi ya nani anakipato gani na uwezo gani.
4.     Wote muwe na jukumu la kuwezeshana, sio mmoja ndio wa kumwezesha mwenzake tu.
5.     Kuweni marafiki wa kweli kabla hata ya kuamua kuwa wanandoa wa kweli.
6.     Jifunzeni kufikiri na kuwaza kwa mtazamo wa “sisi’ na “vyetu” na sio mtazamo wa “wewe”, “mimi”, na “ changu” au “vyangu”.
Share on Google Plus

About Baraka Kiranga

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment