Mabango ya wadhamini mbalimbali waliodhamini siku hii kubwa
Wafanyakazi kutoka kampuni ya Haakneel production ambao ni waandaaji wa shuhuli hii wakihakikisha kila kitu kimekaa sawa kabla ya tukio kuanza
Director Madudu na Mimi tukijadiliana jambo wakati wa uandaaji wa steji kubwa mchana wa maandalizi ya Siku ya msanii
Hugo Domingo kama kawaida yao walihakikisha ukumbi umeonekana sawia na wa viwango vya levels za juu sana kwenye suala la mapambo
Hiyo ndiyo stage ambayo Mimi (Dr. Chris Mauki) na Jokate Mwengelo tulipewa heshima ya kusimama na kuhost tukio hili la kitaifa mbele ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tukio ambalo litakuwa likifanyika kila tar. 25 Oktoba kila mwaka
Hivi ndivyo setting ya viti ilivyokuwa imepangwa, panapendeza sana, Big up kwa Haakneel production
Mzee Majuto, ni kati ya wakongwe wa sanaa ambao mabango yao yaliuzunguka ukumbi mzima










0 comments:
Post a Comment