Hiki ndicho kiliniweka Pretoria kwa miaka 3 na miezi 2. Kwa miezi tisa nimekuwa nikifanya utafiti nchini Tanzania kuhusu ni kwajinsi gani watoto wadogo wanaathirika kielimu na kisaikolojia katika vipindi ambavyo wazazi wana misuguano, magomvi, mapigano na hata kutengana. Nitakuwa nakudadavulia taratibu mambo haya na wewe ujifunze zaidi, kaa na mimi karibu kupitia www.chrismauki.com, radio talks, gazeti la Mtanzania kila jumapili pamoja na TV show itakayokujia soon kupitia TV 1.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments:
Post a Comment