Nikitoa mada katika mkutano mkuu wa PPF AICC Arusha
Nikiongoza harusi kama MC
Mimi na mkewangu Miriam Mauki tukiongoza sherehe Oyster bay Police Officers Mess
Nikizungumza kwenye Mwanza Couples' Dinner Gala. Gold Crest Hotel. Mwanza
Nikizungumza kwenye Women in Balance "Kitchen party gala" Diamond Jubilee Hall
Huduma kwa jamii, nilipoongoza timu ya kutoka Jakaranda Chuo kikuu cha Pretoria kwenda kuwahudumia watoto waishio kituoni huko Hamanskraal. Nje kidogo ya jiji la Pretoria
Muda wa kuanza kuandaa chakula cha mchana ili tushiriki pamoja na watoto wa kituoni Hamanskraal. Pretoria. South Africa
Nikiongoza harusi ya Victor George Mkuchika. Diamond Jubilee VIP Hall
Nikiongoza tukio la ATE Employer of the year award. Kibo hall. Hyatt Regency Kilimanjaro Hotel
Makamu wa Rais ndiye alikuwa mgeni rasmi katika ATE EYA Event. Hyatt Regency
Nikiongoza shuhuli ya harusi
Maharusi hawa walinifurahisha sana kwa kuwa creative, waliamua kuwa serve chakula wazazi wao wakiwa ndani ya aprons
Nikiongea na mtoto aliyenivutia sana kwa ufahamu wake katika harusi






0 comments:
Post a Comment