DAY 2. MWANZA COUPLES NIGHT GALA KATIKA PICHA

 Tukiwa kwenye breakfast Kingdom Hote, Always pleasing when she is close

 Wonderful coincidence, Mc Luvanda "a friend and brother" alikuwepo kuongoza shuhuli nzima, hapa tukiwa hotelini asubuhi ya tukio

 Upako wa nondo umeshuka, ni kutema cheche tu kwenda mbele


 Wanandoa wa Mwanza wakifuatilia mafundisho kwa makini



 3M Network waandaaji wa Mwanza couples night gala
 Betty, Mwenyekiti wa 3M Network akizungumza. This woman is really a fighter "Keep it up Betty"

 Nilipata heshima ya kukabidhi awards na vyeti kwa wadhamini wa tukio hili, huyu jamaa anatoka Nyuka Technologies
 Nikikabidhi cheti cha kutambua mchango wa udhamini kwa Martin, Meneja wa biashara CRDB Bank Mwanza (Martin ni rafiki yangu wa zamani tukiwa digrii ya kwanza UDSM, wala sikuwahi kujua yuko Mwanza)

 Wanandoa wachanga kuliko wotee "just married couples" walipata fursa ya kukata keki

 Miriam akiimba wimbo wake mpya "Put the light on" kaa tayari kuusikiliza ukitoka


 Wasaa wa maswali na majibu palichimbika, ni kufunguka na kujiachia tu

 Dr Kweka, mtaalamu wa figo Muhimbili, Member wa Couples friends network ya Dar aliambatana na mimi kwa ajili ya kudadavua mada, wale waliokuwepo wanajua nini kilidondoka


 Hapa wala sina cha kusema, "proud of you Miriam"

 Hii ndo meza yetu tuliyoketi

MWISHO WA DAY 2 YA EVENT


DAY 3 "The last day"

 Tukiwa kwenye jiwe la ajabu, mpiga picha wetu Miriam akijitahidi kupata shots


 Adelard, Tandi, Miriam na Chris, tuki barizi kabla ya kuelekea airport

 Mstahiki meya wa moyo "always safe with her on ma side"

 Then tukamsalimia Mchungaji Mungubariki Mauki, Baba yangu mpenzi ofisini kwake


Share on Google Plus

About Baraka Kiranga

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment